SERIKALI ya Israel imewaachilia wafungwa 183 wa Kipalestina, muda mfupi baada ya Wanamgambo wa Hamas kuwaachilia mateka ...
UJERUMANI : ALIYEKUWA Rais wa Ujerumani Horst Köhler amefariki dunia leo jumamosi (01.02.2025) baada ya kuugua kwa muda mfupi ...
MWILI wa mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Simiyu, Latifa Juma ,17, aliyepoteza maisha kwa kujinyonga ...
Mpogolo ameeleza hayo wakati wa zoezi maalum la usafi lililofanyika leo siku ya jumamosi Februari Mosi, 2025 kwa Kanda namba ...
MKUU wa Shule ya Sekondari Chambo, iliyopo katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Zaharani Patrombeyi ...
WATU wanne wamepandisha kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka 49 yakiwemo kuongeza genge ...
CONGO : WANAJESHI  wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wakisaidiana na jeshi la Burundi, wamefanikiwa kufanya ...
IMEELEZWA kuwa mashamba yasiyoendelezwa yamekua chanzo kikubwa cha migogoro ya ardhi wilayani Kakonko mkoani Kigoma ikiwemo ...
MADIWANI wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara wametakiwa kuendelea kusimamia ukusanyaji wa mapato ...
TIMU ya Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (MSLAC) imefanikiwa kurejesha matumaini ya Meshack Simeo, mwanafunzi wa ...
TAASISI  ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mtwara imesaidia kufanya miradi minane kujengwa kwenye ubora ...
MWIGIZAJI wa vichekesho Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ amempa tano Rais Samia Suluhu Hassan na kutoa pongezi kwa ...