Ujumbe unaojumuisha Makanisa ya Kikatoliki na Kiprotestanti umepokelewa Jumatano, Februari 12, huko Goma na Corneille Nangaa, ...
MADINI muhimu au kitaalamu ‘critical minerals’ ambayo ni pamoja na shaba, lithiamu, nikeli, kobalti na ‘rare earth elements’ ni malighafi inayohitajika mno duniani kwenye teknolojia za kielektroniki n ...
Wakati DR Congo na Rwanda zikitupiana shutuma, watumiaji wa mitandao ya kijamii walikuwa wakizusha madai ambayo ...
Tarehe 24 January 2025 Rais Tshisekedi alikatiza ziara yake mjini Davos baada ya mapigano makali kuzuka nchini mwake.
HALI ya kutisha imeukumba mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), baada ya maiti za watu kutapakaa katika ...
Umbali kutoka Bukavu mpaka Goma, kwa barabara ni kilometa 193.9. Ni miji mwili, mmoja upo ncha ya Kusini ya Ziwa Kivu na ...
Watu 17 wameripotiwa kuuawa wakati wengine 370 wakijeruhiwa katika Mji wa Goma Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ...
Usiku wa Januari 26, 2025 wapiganaji wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda walivamia Goma na kutangaza kuwa wako ...
SERIKALI ya Congo imesema kuwa taarifa kuhusu kusitishwa kwa mapigano yaliyotangazwa na waasi wa M23 mashariki mwa nchi hiyo ...
Kiongozi wa kisiasa wa kundi la waasi la M23 Corneille Nangaa ameapa kuwa wapiganaji wake hawatauachia mji wa Gomana kudokeza ...
Milipuko ya mizinga imeitikisa Goma Jumatatu, saa chache baada ya wanajeshi wa Rwanda na wapiganaji kundi la waasi la M23 ...
GOMA : MAPIGANO katika mji wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, yamesababisha vifo vya watu 17 na ...