Kauli hiyo wameitoa leo Februari Mosi, 2025 katika baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe robo ya pili ...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro imesema kuwa hali ya ulipaji kodi katika wilaya hiyo ni ...
Wakizungumza leo Januari 31 katika kikao cha bajeti, baadhi ya madiwani wamesema stendi ya mabasi ya Mji wa Mbalizi haifanani na hadhi ya wilaya hiyo licha ya kuwa sehemu ya kuingiza fedha ...
Al Jazeera imeripoti kuwa miongoni mwa mateka wa Israel waliokuwa Gaza walioachiwa leo Jumamosi Februari Mosi, 2025, ni raia ...
Shirika la Associated Press limeripoti kuwa katika taarifa yake kwa umma leo Jumamosi, Februari Mosi, 2025, wizara hiyo imesema mashambulizi hayo yamefanyika usiku kucha maeneo mbalimbali ya ...
Katika maandalizi ya kurejea kuanzia mwezi huu, Shirika la Masoko Kariakoo ambalo ndilo linalosimamia soko hilo, jana Januari ...
Inaelezwa kuwa malori karibu 100 yakiwa na shehena za mizigo yaliyotoka hapa nchini yamekwama DRC huku mengine yakishindwa ...
Hata hivyo, pamoja na kundi hilo la waasi kuanzishwa tarehe hiyo, makeke yalianza kuonekana zaidi miezi miwili baadaye, Juni 6, 2012.
Kutokana na uelewa huo mdogo wa jamii, wadau hao wameiomba Mahakama kutoa elimu zaidi ili kujenga imani hususan kwa watuhumiwa ambao kesi zao zinasikilizwa kwa njia ya mtandao.
Baada ya mchakato wa muda mrefu hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amezindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 toleo la mwaka 2023, huku akitaja mambo matatu yalimsukuma kutaka ...
Baada ya Yanga kupata bao la kuongoza, iliendeleza mashambulizi langoni mwa Kagera Sugar na dakika ya 35 ilifanya shambulizi ...
Wakizungumza na Mwananchi leo, Februari 1, 2025 kwa nyakati tofauti, baadhi ya wananchi hao wamesema awali walikuwa wakinunua ...